Mambo ya kuzingatia unapoandika insha

Kuna baadhi ya mambo au masharti ya kuzingatia ili uandike insha bora.

  • Hati nzuri inayosomeka kwa urahisi
  • Mpangilio mzuri wa hoja – kila aya lazima iwe na hoja maalum iliyoelezwa kwa upana na ufasaha.
  • Urefu wa kutosha wa insha – sana sana ukurusa moja na nusu had kurasa mbili.
  • Lugha sanifu isiyokuwa na makossa ya kisarufi
  • Upambaji wa lugha kwa kutumia fani mbali mbali kama vile methali, istiara, n.k.
  • Mawazo mazito na yanayotiririka vizuri
  • Sentensi fupi fupi zinazoeleweka
  • Uzingatiaji wa mada husika
(Visited 29 times, 1 visits today)

KCSEPDF.CO.KE

kcsepdf.co.ke is an online learning platform where tutors and students can access notes, revision questions, educative articles, stories, e-books, and more learning materials.

Leave a Reply

Kiswahili Notes and Past Papers

Aina za Nomino

Nomino ni majina ya watu, vitu, mahali, au wazo. Kuna aina nyingi za nomino k.v. Nomino za Kawaida Nomino za Pekee Nomino za Wingi Nomino za Dhahania Nomino za Vitenzi-Jina Nomino za Makundi 1) Nomino za Kawaida Nomino za pekee ni maneno yanayorejelea vitu vya kawaida kama vile watu, nyumba, mahali, mimmea na vitu. Nomino […]

Read More
Example of KCPE Insha
Kiswahili Notes and Past Papers

How to Pass in KCPE Insha Paper

Aina za Insha Katika shule ya msingi, wanafunzi hufunzwa aina nyingi za insha: Insha za methali Insha za mjadala Insha za Mdokezo Insha za Mada Insha ya mahojiano Insha za Mjadala Katika insha ya mjadala, mwanafunzi anatakiwa kutoa hoja za kuunga mkono au kupinga mada fulani. Kwa mfano: Andika insha ya mjadala kuhusu mada: Serikali […]

Read More
Kiswahili Notes and Past Papers Revision Notes and Questions

Kiswahili KCSE Past Papers

Hello, you can download free KCSE question papers for Kiswahili here. Access past KCSE question papers and free KCSE revision papers; free download PDF. KCSE-2011-KISWAHILI-PAPER-1 KCSE 2011-KISWAHILI-PAPER-2 KCSE-2011-KISWAHILI-PAPER-3 KCSE-2012-KISWAHILI-P1 KCSE-2012-KISWAHILI-P2 KCSE-2012-KISWAHILI-P3 kiswahili-paper-1-form-3-term-1-exam-2018 kiswahili-paper-1-term-2-exam-2018 kiswahili-paper-2-form-3-term-1-exam-2018 kiswahili-paper-2-term-2-exam-2018 kiswahili-paper-3-term-2-exam-2018

Read More